Dodoma FM
magonjwa ya ngozi
4 July 2022, 1:30 pm
Wanaume wakwepa kushiriki suala la uzazi wa mpango
Na;Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa wanaume wengi si washiriki wazuri katika suala la uzazi wa mpango hatua inayosababisha wanawake wanaoamini uzazi wa mpango kuamua kutumia njia za usiri na hivyo kukosekana maridhiano baina ya pande hizo. Akizungumza leo na Taswira…
20 September 2021, 12:04 pm
Jamii yaaswa kuacha tabia ya kuchangia nguo ili kuepuka magonjwa ya kuambukizwa
Na; Alfred Bulahya. Jamii imeshauriwa kuacha kuchangia nguo na badala yake kila mmoja atumie mavazi yake ili kuepusha kupata maambukizi ya magonjwa mbalimbali ya kuambukiza. Wito huo umetolewa na Tabibu Joseph Zabron Kusanya wakati akizungumza na Taswira ya habari ofisini…