Dodoma FM
madiwani
28 October 2021, 12:43 pm
Baraza la Madiwani Jijini Dodoma lampongeza rais Samia Suluhu Hassan
Na; Alfred Bulahya. Baraza la madwani wa Jiji la Dodoma limempongeza Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan kwa kwa kulipatia fedha kiasi cha shilingi, billion 2, million 974 ,laki 672 na 970.48, kwa ajili ya…