madini
7 December 2022, 11:41 am
Kiti mwenzo chamuwezesha Agness kurudisha tabasamu.
Na; Mariam Matundu. Familia ya mtoto Agnesi inayoishi kata ya makang’wa wilayani chamwino imerejesha matumaini baada ya diwani wa viti maalumu kumsaidia binti yao kiti mwenzo kinachomuwezesha kufika shule . .
22 April 2022, 2:07 pm
Serikali kufanyia utafiti jiwe la Ruby lililopo Dubai
Na; Shani Nicolous. Mara baada ya taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu jiwe la Ruby lililopo Dubai Wizara ya madini imesema inafanya utafiti na kutoa majibu sahihi namna taifa litanfaika na jiwe hilo. Akizungumza bungeni Naibu waziri wa madini Mh.Dr. Steven Kiruswa…
1 March 2022, 3:34 pm
Sekta ya madini ni kiungo muhimu katika ukusanyaji mapato.
Na; Victor Chigwada. Sekta ya madini Jijini Dodoma imekuwa kiungo muhimu katika nyanja ya ukusanyaji mapato licha ya baadhi ya migodi pamoja na jamii ya maeneo husika kutokunufaika kwa kiasi kikubwa. Wananchi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wamesema…
5 November 2021, 12:59 pm
Mchango wa sekta ya madini waongezeka na kufikia asilimia 7.7
Na;Mindi Joeph . Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema Mchango wa sekta ya madini umeongezeka na kufikia asilimia 7.7 ya pato la taifa katika robo ya pili ya mwaka 2021 huku ukitarajiwa kufikia asilimia 10 ifikapo mwaka 2025. Akizungumza leo…