Dodoma FM

madini

22 April 2022, 2:07 pm

Serikali kufanyia utafiti jiwe la Ruby lililopo Dubai

Na; Shani Nicolous. Mara baada ya taarifa zinazosambaa mitandaoni  kuhusu jiwe la Ruby lililopo Dubai Wizara ya madini imesema inafanya utafiti na kutoa majibu sahihi namna taifa litanfaika na jiwe hilo. Akizungumza bungeni  Naibu waziri wa madini Mh.Dr. Steven Kiruswa…

1 March 2022, 3:34 pm

Sekta ya madini ni kiungo muhimu katika ukusanyaji mapato.

Na; Victor Chigwada. Sekta ya madini Jijini Dodoma imekuwa kiungo muhimu katika nyanja ya ukusanyaji mapato licha ya baadhi ya migodi pamoja na jamii ya maeneo husika kutokunufaika kwa kiasi kikubwa. Wananchi wa kijiji cha Nholi Kata ya Mpalanga wamesema…