Dodoma FM
homa ya manjano
21 March 2022, 2:06 pm
Wananchi waiomba serikali kupitia Wizara ya Afya kutoa elimu juu ya homa ya manj…
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi Mkoani Dodoma wameiomba serikali kupitia wizara ya afya kutoa elimu juu ya ugonjwa wa homa ya manjano na namna ya kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema…