Dodoma FM

Bungeni

23 April 2024, 6:48 pm

Waziri Dkt. Jafo awasilisha bajeti 2024/25 leo

Hivyo, Waziri Dkt. Jafo ameliomba Bunge liidhinishe jumla ya shilingi 62,686,762,000 kwa ajili ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/25. Na Mariam Kasawa.Ofisi ya Makamu wa Rais inaandaa Mfumo wa Kieletroniki wa Uratibu wa…

21 April 2022, 11:05 am

Lugha mama itumike kufundishia shuleni

Na; Yussuph Hassan. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea leo kwa kujadili hotuba ya bajeti katika Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi. Katika kujadili bajeti hiyo Mbunge wa jimbo la Tabora Kaskazini Athumani Almas…

23 June 2021, 11:52 am

Serikali inakamilisha mkakati wa huduma ya mazoezi tiba nchini

Na; Yussuph Hans Serikali imesema inakamilisha mpango mkakati wa kutoa huduma ya mazoezi tiba nchini, kufuatia kuwepo kwa ongezeko la wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo ikiwemo walio na ugonjwa wa kupooza. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi…

26 May 2021, 1:07 pm

Serikali kuboresha Mifumo ya upatikanaji wa Pembejeo

Na; Yussuph Hans Serikali Nchini inaendelea kuboresha Mifumo ya upatikanaji wa Pembejeo ikiwemo Mbegu, Mbolea na Viuatilifu, kuratibu katika Mikoa pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya makampuni kuuza maeneo mbalimbali. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…