Bungeni
23 April 2024, 6:48 pm
Waziri Dkt. Jafo awasilisha bajeti 2024/25 leo
Hivyo, Waziri Dkt. Jafo ameliomba Bunge liidhinishe jumla ya shilingi 62,686,762,000 kwa ajili ya Ofisi ya Makamu wa Rais katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/25. Na Mariam Kasawa.Ofisi ya Makamu wa Rais inaandaa Mfumo wa Kieletroniki wa Uratibu wa…
21 April 2022, 11:05 am
Lugha mama itumike kufundishia shuleni
Na; Yussuph Hassan. Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea leo kwa kujadili hotuba ya bajeti katika Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Tamisemi. Katika kujadili bajeti hiyo Mbunge wa jimbo la Tabora Kaskazini Athumani Almas…
31 August 2021, 12:13 pm
Kamati ya Bunge ya haki maadili na madaraka ya Bunge yatoa ripoti Bungeni kuhus…
Na;Yussuph Hans. Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imetoa Ripoti yake leo Bungeni Dodoma kuhusu shauri la Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima Bunge na kutoa adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya Bunge. Akisoma taarifa…
23 June 2021, 11:52 am
Serikali inakamilisha mkakati wa huduma ya mazoezi tiba nchini
Na; Yussuph Hans Serikali imesema inakamilisha mpango mkakati wa kutoa huduma ya mazoezi tiba nchini, kufuatia kuwepo kwa ongezeko la wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo ikiwemo walio na ugonjwa wa kupooza. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi…
21 June 2021, 10:24 am
Serikali yaweka mifumo kuhakikisha inawatambua watumishi walio staafu na kuwalip…
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema katika kuhakikisha watumishi waliostaafu wanapata mafao yao imetengeneza mifumo ya tehama kwa ajili ya kuwatambua wananchama wote pamoja na kulipa malimbikizo yaliyosalia. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na…
2 June 2021, 11:12 am
Serikali kuandaa mikakati mbalimbali ili kupambana na biashara ya dawa za kulevy…
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema haitofumbia macho suala la baadhi ya viongozi wanaofichua siri na mipango ya Serikali katika udhibiti wa Dawa za kulevya Nchini. Hayo yamebainishwa Bungeni na Waziri wa Nchi, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Mh.Jenista Mhagama…
26 May 2021, 1:07 pm
Serikali kuboresha Mifumo ya upatikanaji wa Pembejeo
Na; Yussuph Hans Serikali Nchini inaendelea kuboresha Mifumo ya upatikanaji wa Pembejeo ikiwemo Mbegu, Mbolea na Viuatilifu, kuratibu katika Mikoa pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya makampuni kuuza maeneo mbalimbali. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…