Dodoma FM

barakoa

21 September 2021, 12:51 pm

Jamii yaaswa kuacha kutupa ovyo barakoa zilizo tumika

Na; Benard Filbert. Jamii imetakiwa kuacha kutupa hovyo barakoa zilizotumika ili kuepuka kusababisha magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa. Hayo yameelezwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdallah Mahiya wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu athari za utupaji…