Ardhi
16 July 2021, 11:36 am
Imeelezwa kuwa migogoro ya ardhi ni sababu inayo pelekea baadhi ya watu kushindw…
Na; Sani Nicolous. Pamoja na kwamba serikali bado inaendelea na kampeni ya kutatua migogoro ya ardhi lakini kuna baadhi ya maeneo wakulima na wafugali wapo katika migogoro mikali ya ardhi. Akizungumza na Dodoma fm Diwani wa kata ya Mpendo wilaya…
15 July 2021, 11:38 am
Kampeni ya zero mogogoro ya ardhi Mkoani Dodoma yaongezewa siku
Na; Shani Nicolous. Baada ya uongozi wa Mkoa wa Dodoma kuandaa kampeni ya zero migogoro ya ardhi Mkoani Dodoma Serikali imeongeza siku ili zoezi hilo lidumu kwa muda wa mwezi mzima kwa ajili ya kuendelea kusikiliza na kutatua migogoro hiyo.…
9 July 2021, 12:01 pm
Migogoro ya Ardhi Chemba yapungua kwa kiasi kikubwa
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa migogoro ya ardhi katika Kata ya Chemba Wilayani Chemba Mkoani Dodoma imepungua kwa kiasi kikubwa tofauti na awali ambapo ilikuwa ikileta ugomvi kwa wananchi. Hayo yameelezwa na mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw. Bashiru Athman wakati…
8 July 2021, 11:11 am
Kampeni ya zero migogoro yafanikiwa kusikiliza kesi zaidi ya elfu moja kwa siku…
Na; Shani Nicolous. Kampeni ya zero migogoro ya ardhi Mkoani Dodoma imefanikiw kusikiliza kesi zaidi ya elfu moja kwa siku mbili huku baadhi ya kesi zikitatuliwa papo kwa papo na nyingine zilizohitaji kufika maeneo husika zikiendelea kufanyiwa kazi. Akizungumza na…
25 June 2021, 2:07 pm
Iyumbu waishukuru serikali kwa kusimamia ipasavyo migogoro ya Ardhi
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Iyumbu jijini Dodoma wameishukuru Serikali kwa kusimamia ipasavyo utatuzi wa migogoro ya ardhi. Baadhi ya wanachi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema tangu Diwani wa Kaya yao alipoingia madarakani ameshirikiana na wananchi…