Dodoma FM
amani
21 September 2021, 12:20 pm
Dodoma waidhimisha siku ya amani duniani kwa kudumisha amani mitaani
Na; Shani Nicolous. Kufuatia maadhimisho ya siku ya amani Duniani mwenyekiti wa wenyeviti wote jijini Dodoma Matwiga Kiyatya amesema wajibu wao ni kuhakikisha mitaa yote jijini inakuwa katika hali ya amani. Akizungumza na Taswira ya habari kupitia kipindi cha Dodoma…