Dodoma FM

afya ya akili

7 March 2022, 1:46 pm

Jamii inahitaji zaidi Elimu ya Afya ya akili

Na; Benard Filbert. Wadau wa afya nchini wameombwa kuwekeza katika utoaji wa elimu ya afya ya akili kwa vijana ili kuwasaidia kuondokana na changamoto mbalimbali. Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za tiba kutoka wizara ya afya wakati akizungumza na…