afya ya akili
7 March 2022, 1:46 pm
Jamii inahitaji zaidi Elimu ya Afya ya akili
Na; Benard Filbert. Wadau wa afya nchini wameombwa kuwekeza katika utoaji wa elimu ya afya ya akili kwa vijana ili kuwasaidia kuondokana na changamoto mbalimbali. Hayo yameelezwa na mkurugenzi wa huduma za tiba kutoka wizara ya afya wakati akizungumza na…
12 October 2021, 12:57 pm
Serikali yatakiwa kuongeza nguvu katika kuwekeza na kupambana na magonjwa ya Afy…
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa serikali kuongeza nguvu ya kuwekeza katika magonjwa ya afya ya akili . Wito huo umetolewa na Rais na muasisi kutoka shirika la afya ya akili ya Jamii Tanzania (CMHI-Tanzania) Dr. Joshua John na kusema…
11 October 2021, 12:30 pm
Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni saba wenye matatizo yanayo husiana na…
Na; Yussuph Hans. Wakati Dunia ikiadhimisha Siku ya Afya ya Akili hapo jana, imeelezwa kuwa Tanzania inakadiriwa kuwa na watu milioni saba wenye matatizo yanayohusiana na afya ya akili. Hata hivyo, sababu mbalimbali zimetajwa kusababisha matatizo ya afya ya akili…