Familia
25 Mei 2021, 11:57 mu
Kigwe waililia serikali maji safi na salama
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe Wilaya ya Bahi wameiomba Serikali na taasisi binafsi kuwatatulia changamoto ya uhaba wa maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kwa muda…
20 Mei 2021, 1:44 um
Wakazi wa kata ya Keikei walalamikia kukosa huduma ya maji.
Na ;Benard Filbert. Uchakavu wa miundombinu ya maji katika Kata ya Keikei Wilayani Kondoa imetajwa kuwa sababu inayochangia kukosekana kwa huduma ya maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu sababu…
18 Mei 2021, 1:08 um
Changamoto ya maji safi na salama kata ya Ipagala yapata ufumbuzi
Na; Shani Nicolous Baadhi ya wanawake katika Mtaa wa Swaswa Mnarani , Kata ya Ipagala jijini Dodoma wamechanga fedha kwa ajili ya kuchimba kisima ili kukabiliana na changamoto ya maji inayowakabili kwa muda mrefu. Wakizungumza na Dodoma fm wanawake hao…
12 Mei 2021, 10:12 mu
Waziri mkuu azindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji
Na; Mindi Joseph waziri mkuu kasimu majaliwa amezindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji ili kupunguza changamoto ya maji nchini. Akizungumza baada ya kuzindua mwongozo huo Kwenye kikao cha watendaji wa sekta ya maji nchini LEO jijini…