Butiama FM Radio
Butiama FM Radio
October 3, 2025, 9:56 pm

Kusanyiko la ushirikishwaji wa jamii na uhamasishaji wa haki ya juu, kuweka mkakati wa mawasiliano mazuri kuitangaza Butiama FM Radio 93.1.
Na Swaiba Oscar
Mkuu wa mkoa ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi kwenye kusanyiko hilo aliongoza na kuwasihi wananchi wa butiama kutoa ushirikiano kwa radio jamii Butiama fm ili kuleta maendeleo katika wilaya nzima ya Butiama pia aliwasihi maafisa usafirishaji maarufu kama boda boda kutoa ushirikiano kwenye uhamasishaji na kuleta ushiriki zaidi kuleta maendeleo katika jamii kupitia radio butiama fm 91.3.


Kusanyiko hilo lilihudhuliwa na viongozi mbali mbali wakiwemo
Nd. Aziza Baruti – Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama
Col. Evans Mtambi -Mkuu wa Mkoa wa Mara
Mhe. Thecla Mkuchika – Mkuu wa Wilaya ya Butiama
Chief Japhet Wanzagi na
Dk. Wilson Mahera – Mgombea Ubunge wa CCM Jimbo la Butiama