Butiama FM Radio

Mwampembwa: Wasanii Butiama shiriki bajeti ya Wizara yenu

April 24, 2025, 10:10 am

Mwenyekiti wa Creative Industry Network Tanzania Robert Mwampembwa. Picha na Patrick Kimamba

Wasanii na wadau wa sanaa wilaya ya Butiama mkoani Mara wametakiwa kuwa na jukumu la kutoa maoni juu ya bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia vyombo washirika.

Na Swaiba Oscar na Robert Mwampembwa