Bunda FM Radio
Bunda FM Radio
June 14, 2025, 10:11 am

”Upandaji miti ni njia mojawapo ya utunzaji wa mazingira,kupata kivuri na upatikanaji wa matunda ya kutosha katika jamii yetu” Tegemeo Masiti mhifadhi misitu Wilaya ya Bunda.
Na Witness Joseph
Akizungumza na Bunda Fm Radio kwenye kipindi cha ukurasa mpya mhifadhi misitu(TFS) Wilaya ya Bunda bwana Tegemeo Masiti amesema wanafunzi ni vijana na nguvu kazi ya Taifa ivyo wana muda mzuri wa kufanya kazi iyo ya upandaji miti kwa sababu hawana majukumu mengine kwenye jamii zaidi ya kusoma.