Bunda FM Radio
Bunda FM Radio
April 29, 2025, 12:22 pm

”Tumepokea maelezo kutoka kwa Mkurugenzi mkuu wa NIDA, James Kaji, kufikia mei mosi 2025 kuwa wananchi wote waliotumiwa ujumbe mfupi wa sms kujulishwa upatikanaji wa vitambulisho vyao lakini hawajajitokeza kuchukua vitasitishwa” Hilkia Nyamongo,kaimu Afisa usajili NIDA Wilaya ya Bunda.
Na Amos Marwa
Hayo yaamebainishwa na Kaimu Afisa usajili wa Wilaya ya Bunda, Hilkia Nyamongo wakati akizungumza na Bunda FM Radio kupitia kipindi cha Busati la habari.