Boma Hai FM
Onyo
27 March 2024, 7:30 pm
Watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa kukiona
Kutokana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,serikali yatoa onyo. Na Edwine Lamtey Serikali imetoa onyo kwa vikundi vya watu,Taasisi ama vyama vya siasa vinavyojipanga kwa ajili ya kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye…