Boma Hai FM
Maagizo
23 February 2024, 10:06 am
Waliochukua mikopo Hai watakiwa kurejesha
Vikundi vya vijana ,wanawake na watu wenye ulemavu wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha mikopo waliyochukua katika halmashauri ya wilaya hiyo kama utaratibu unavyoelekeza. Na Janeth Joachim Wananchi wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wametakiwa kurejesha fedha za mikopo ya halmashauri zinazotolewa…