Boma Hai FM

boma hai fm

3 December 2021, 4:14 pm

Ujenzi wa madarasa

Serikali wilayani Hai yatoa siku 30 kujengwa madarasa matatu shule iliyokumbwa na tetemeko Na Salma Shaban HAI Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Juma Said Irando ameagiza kujengwa madarasa matatu katika shule ya msingi Nsongoro iliyopo kata ya Masama…

20 November 2021, 9:08 am

Semina ya wajasiriamali

Madiwani wasaidieni wananchi kuzitambua fursa za kiuchumi: Diwani kata ya Bomang’ombe Na Salma Shaban HAI Diwani wa kata ya Bomang’ombe wilayani Hai mkoani Kilimanjaro Evod Njau amewaomba madiwani kote nchini kuwasaidia wananchi wakimemo wajasiriamali ikiwa ni pamoja na kutekeleza ahadi…