Baraka FM
Utalii
14 February 2024, 21:42
DC Songwe asimamisha mchakato utoaji leseni mlima Elizabeth
Na Ezekiel Kamanga,Songwe Mkuu wa Wilaya ya Songwe mkoa wa Songwe Solomon Itunda amesimamisha mchakato wa utoaji leseni ulioanza kutolewa eneo la Bafex lililopo mlima Elizabeth kata ya Saza wilaya ya Songwe mkoa wa Songwe. Itunda amechukua hatua hiyo katika…