Baraka FM

uchaguzi

9 April 2024, 13:28

CHADEMA Mbeya yachagua viongozi, Masaga ambwaga Mwasote

Mabadiliko ni sehemu ya maisha ya binadamu hivyo ndivyo unaweza kusema hata kwenye taasisi kunahitaji mabadiliko ili kwenda mbele zaidi na kuyafikia mafanikio. NA Imani Anyigulile Wananchama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo mkoa wa Mbeya wamechagua viongozi mbalimbali wa…