Baraka FM
ubunifu
8 March 2024, 08:31
Hospitali ya rufaa kanda ya Mbeya kusaidia vijana wabunifu wenye ulemavu
Na Ezekiel Kamanga Mkurugenzi mtendaji wa hospitali ya rufaa ya kanda Mbeya Dkt. Godlove Mbwanji amesema hospitali iko tayari kusaidia kijana yeyote mwenye ubunifu kwa mambo yanayogusa sekta ya afya kwa ustawi wa jamii bila kujali ni mfanyakazi wa hospitali,…