Baraka FM
kubaka
21 March 2024, 18:41
Aliyebaka, kumlaghai mwanafunzi atamuoa ahukumiwa miaka 30 jela
Hakuna mtu aliyejuu ya sharia hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu sharia kwa mjibu wa sharia za nchi. Na mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya ya Momba mkoani Songwe tarehe 15 Machi 2024 imemhukumu mshtakiwa Stanford Theobert (19) mkulima, mkazi wa Maporomoko,…