Baraka FM
kongamano
23 March 2024, 07:37
Baraka fm redio yapewa cheti ushiriki kongamono idhaa za kiswahili duniani
Meneja wa kituo cha redio Baraka cha jijini Mbeya Charles Amlike akiwa ameshika chetu cha pongezi na kutambua ushiriki wa kituo hiki cha matangazo katika kongamano la idhaa za kiswahili dunia lililofanyika Mbeya. kongamano hilo limeandaliwa Baraza la Kiswahili kwa…