Biashara
26 June 2024, 12:54
Wakulima, wafanyabiashara watakiwa kuongeza umakini katika biashara zao
Duniani kote binadamu amekuwa akifanya jambo ili kupata tija ya kile anachokifanya ndivyo ilivyo katika uzalishaji wa mali kupitia kilimo ambapo wapo wakulima wamekuwa wakilima mazao kwa ajili ya biashara aua chakula. Na Hobokela Lwinga Wakulima na wafanyabiashara wa mazao…
1 June 2024, 07:15
Mbeya Dc kinara uzalishaji zao la Pareto nchini
Pareto ni zao la biashara linalotumika kutengenezea viuatilifu mbalimbali vya kuua wadudu wanao tambaa na kuruka. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa wilaya ya Mbeya mhe.Beno Malisa amesema mnunuzi yeyote ambaye atakiuka miongozo katika katika kununua zao la pareto atachukuliwa sheria…
20 May 2024, 10:51
Viongozi wa machinga jiji la Mbeya waanza ziara katika masoko
Utekelezaji wa Maagizo ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suruhu Hassan kuwapatia wafanyabiashara wadogo maarufu kama Machinga vitambulisho maalumu waanza kutekelezaji. Na Ezra Mwilwa Umoja wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama machinga jiji la Mbeya wakiongozwa…