Adhana FM
WAZEE
2 October 2021, 8:46 am
Makamo wa pili wa Rais: Mpango wa Pensheni jamii umewasiadia kiuchumi baadhi ya…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ameitaka jamii kuweka kipaumbele jukumu la kuwalea wazee na kuwapa matunzo na huduma za msingi. Hemed ametoa kauli hiyo katika kilele cha maadhimisho ya siku ya wazee duniani kilichofanyika katika…