Adhana FM
Maadhimisho
6 October 2021, 8:15 am
Walimu watakiwa kuchangamkia fursa zilizopo
Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya mafunzo ya amali Zanzibar mhandisi Bakari Ali Silima amewataka walimu kuzifahamu fursa zilizopo katika uchumi wa bluu ili kuwaelekeza vijana kufikia lengo la ukuaji wa uchumi nchini. Akizungumza katika siku ya maadhimisho…