Adhana FM
Afya
6 October 2021, 6:20 am
Upimaji wa UVIKO 19: Wasafiri watakiwa kutuma maombi mtandaoni ili kupunguza mso…
Radio Adhana WASAFIRI wanaondoka nchini wametakiwa kutuma maombi kwa njia ya mtandao ya kipimo cha uviko 19 ili kupunguza msongamano wakati wa kusafiri na kusababisha kuchelewa kwa wasafiri. Afisa dhamana huduma za afya uwanja wa ndege Nassor Hamad Said amesema…