wosia
3 July 2025, 3:47 pm
Wanafunzi wapo salama dhidi ya mimba wakati huu wa likizo?
Katika kufahamu suala hili, Selemani Kodima mapema alifika hadi Wilaya ya Kondoa na kutuandalia taarifa ifutayo. Na Seleman Kodima.Katika mwaka 2025, hali ya mimba za utotoni imeendelea kuwa changamoto kubwa duniani, hususan katika nchi zinazoendelea, lakini pia kuna maendeleo yanayoleta…
22 January 2023, 10:27 am
Kuandika wosia si kujitabiria kifo
Na; Mariam Kasawa. Wazazi wamekumbushwa kuwa na utamaduni ya kuandika wosia ili mgawanyo wa mali usilete shida endapo mzazi huyo atafariki. Akizungumza na Dodoma Tv mwanasheria kutoka chama cha wanasheria wanawake TAWLA bi. Neema Ahmed amesema wazazi wanapaswa kujua kwamba…
13 December 2021, 3:03 pm
Jamii yatakiwa kuwafundisha watoto mambo mbalimbali ya kijamii wakati wa likizo
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuunga mkono kauli ya Serikali kuto kuwapeleka Watoto kusoma masomo ya ziada kipindi cha likizo na badala yake watumie muda huo kujifunza mambo mbalimbali ya kijamii. Ushauri huo umetolewa na mhadhiri wa chuo kikuu cha…