Radio Tadio
10 September 2025, 3:10 pm
TANESCO imewataka wananchi wote waliounganishiwa umeme kwa njia zisizo halali kujitokeza mara moja kwa hiari ili kusafisha taarifa zao, huku ikisisitiza kuwa operesheni hiyo itaendeleakatika mikoa mingine ili kudhibiti wizi wa umeme nchini. Na Anwary Shaban.Mkazi mmoja wa Jiji la…