
Radio Tadio
27 October 2024, 6:13 pm
Kwa kutambua changamoto katika hatua ya ukuaji wa mwanamke na uhitaji wa huduma za afya, shirika la Marie Stopes Tanzania limezindua kampeni itakayomwezesha mwanamke kuanzia umri wa miaka 16 hadi 50 kupata huduma stahili za afya. Na Hilali A. Ruhundwa,…
7 April 2023, 4:59 pm
Katika hatua nyingine Waziri Simbachawene ameeleza kwamba Mkakati huo utawezesha nchi kufikia malengo ya Maendeleo Endelevu ya mwaka 2030 ambayo yamejikita katika kupunguza umasikini na kuleta ustawi wa maisha ya watu. Na Pius Jayunga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,…