Waajiri
16 Disemba 2025, 4:17 um
Mpwapwa wataka zimamoto kuwakumbuka
Wananchi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka ili kulinusuru eneo hilo na majanga ya moto yanayoweza kusababisha hasara kubwa zaidi. Na Steven Noel. Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia gari la zimamoto na uokoaji ili…
25 Septemba 2025, 4:01 um
Zimamoto Dodoma yaendelea na upanuzi wa barabara ndani ya masoko
Upanuzi wa barabara unafanyika kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma za dharura pindi majanga yatakapojitokeza. Na Lilian Leopold.Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Septemba 24, 2025 limeendelea na zoezi la kupanua barabara ndani ya masoko ambapo limefanyika…
21 Juni 2023, 4:21 um
Serikali kuwashughulikia waajiri sugu wanaodaiwa michango ya wafanyakazi
Serikali imeanzisha mifuko ya hifadhi ya jamii kwa ajili ya kulipa mafao ya mtumishi pindi mfanyakazi anapostaafu au kuacha kazi. Na Mindi Joseph. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi ameagiza wakurugenzi…