
Radio Tadio
27 June 2023, 6:28 pm
Mkoa wa Dodoma umebahatika kupata minara 36 huku 6 ikijengwa na Vodacom. Na Mindi Joseph. Serikali imeondoa tozo kwenye miamala ya kutuma fedha katika mitandao mbalimbali ya simu ili kuondoa adha kwa watazania. Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na…