
Vishikwambi

15 January 2025, 4:45 pm
Wazazi na walezi watakiwa kutimiza wajibu kwa watoto wao
Ajenda ya maendeleo ambayo inalenga kuhakikisha kwamba “hakuna anaebaki nyuma,”ikiwa ni pamoja na ahadi ya kuhakikisha elimu jumuishi na bora kwa wote. Na Seleman Kodima.Imeelezwa kuwa ili kuvishinda vikwazo vinavyomkwamisha mtoto wa kike kusoma na kutimiza malengo yake ni wazazi…

8 January 2025, 3:34 pm
Wazazi watakiwa kuwaandaa wanafunzi kurudi shule
Shule za msingi na sekondari zinatarajiwa kufunguliwa Januari 13 mwaka huu, ambapo Watoto wenye umri wa kuanza shule wanatakiwa kuandikishwa. Na Lilian Leopold .Wito umetolewa kwa wazazi na walezi kuhakikisha wafanya maandalizi ya kutosha kwa wanafunzi wanaotarajiwa kujiunga na shule…

13 April 2023, 5:08 pm
Walimu watakiwa kuzuia maudhui yasiyofaa
Jiji la Dodoma limetakiwa kutenga fedha na kuongeza vifaa vya Tehama kwa shule kwa lengo la kuendelea kuboresha ujifunzaji wa wanafunzi shuleni. Na Mindi Joseph. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewataka walimu wanaosimamia Tehama kufuatilia kwa karibu maudhui…