Radio Tadio

Vishikwambi

13 April 2023, 5:08 pm

Walimu watakiwa kuzuia maudhui yasiyofaa

Jiji la Dodoma limetakiwa kutenga fedha na kuongeza vifaa vya Tehama kwa shule kwa lengo la kuendelea kuboresha ujifunzaji wa wanafunzi shuleni. Na Mindi Joseph. Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabiri Shekimweri amewataka walimu wanaosimamia Tehama kufuatilia kwa karibu maudhui…