
Radio Tadio
21 December 2023, 09:56
Na Hobokela Lwinga Kuelekea mwisho wa mwaka, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya Kikosi cha Usalama barabarani limewataka madereva wa Mabasi ya Abiria yanayofanya safari mikoa mbalimbali kuzingatia, kufuata na kuheshimu sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali na kuhakikisha…