Radio Tadio

Ujasiliamali

8 August 2025, 06:30 am

Jamii inachangiaje kuwalinda, kuwatunza watu wenye ulemavu?

“Hamisi Bakari anakiri kuwa changamoto kubwa anayokumbana nayo ni ukosefu wa eneo maalum la kufanyia biashara, kama angepata sehemu hiyo rasmi basi angeweza kupiga hatua zaidi za kimaendeleo kwa kuwa angeendesha biashara yake kwa utulivu na kujiimarisha zaidi kiuchumi” Na…