Ufafanuzi
11 September 2025, 4:18 pm
Njaa yaanza kuwa tishio kwa wakazi wa Ndogowe
Wameongeza kuwa hali hiyo imewalazimu wanaume kuhama nyumbani na kwenda kutafuta fursa kwa ajili ya kukidhi uchumi wa familia. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa hali ya uhaba wa mvua katika msimu uliopita mwaka 2024/2025 imeaanza kuwaathiri wananchi wa kijiji cha Ndogowe…
31 January 2023, 12:02 pm
Balozi afafanua juu ya Miundombinu ya Maji taka
Balozi wa mtaa wa Bahiroad mariamu omary amelazimika kutoa ufafanuzi juu ya miundombinu ya maji taka. Na Leonard Mwacha Alitoa ufafanuzi huo juu ya shutuma zinazoelekezwa kwa wenye nyumba juu ya kuhusika na uharibifu wa miundombinu ya maji taka. Kwa…
8 February 2022, 4:45 pm
Ukosefu wa chakula shuleni wapelekea wanafunzi kutofanya vizuri
Na; Neema Shirima. Hali ya ukosefu wa chakula kwa wanafunzi katika baadhi ya shule za msingi jijini Dodoma inachangia wanafunzi kutofanya vizuri darasani pamoja na utoro Akizungumza na taswira ya habari mwalimu mkuu msaidizi wa shule ya msingi Chitabuli iliyopo…