Radio Tadio

Uchunguzi

12 June 2026, 17:31

Serikali kuweka mikakati ya kuimarisha ustawi wa wafanyakazi

Mradi wa Empowered II unatarajiwa kuongeza uelewa wa haki za wafanyakazi wa majumbani, kuimarisha ulinzi wao kazini pamoja na kukuza ushirikishwaji wao katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Na Anwary Shaban. Serikali, wadau wa kazi na mashirika ya maendeleo wameendelea…