Radio Tadio

Teknolojia

28 November 2025, 2:18 pm

Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa za serikali

Ni vyema wananchi wakachangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo fursa ya mikopo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Na Mariam Matundu.Wananchi wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa tarehe 27 Novemba na Naibu waziri…

27 November 2025, 3:20 pm

Gwajima atoa wito kwa wazazi usalama wa watoto mtandaoni

Wadau wa maendeleo wanaotekeleza afua za usalama wa watoto mtandaoni wameahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali ili kuhakikisha watoto wanalindwa dhidi ya aina zote za ukatili, hususan ukatili wa mtandaoni. Na Mariam Matundu.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake…

24 November 2025, 3:37 pm

‘Wazazi, walezi wana jukumu kubwa malezi ya watoto’

Wazazi wasiozungumza na watoto wao au kuwanyima nafasi ya kueleza mawazo na hisia, huwafanya watoto kushindwa kueleza matatizo yao. Na Joseph Julius.Wazazi wanatajwa kuwa na jukumu kubwa katika malezi ya watoto, lakini tabia zisizo sahihi zinaweza kuathiri saikolojia ya mtoto…

19 November 2025, 1:55 pm

Baba ruksa kumwona mtoto hata kama hatoi matunzo

Wakili Jacquiline amesisitiza endapo baba anakataa au anashindwa kutoa matunzo, mama anaweza kufika ofisi za Ustawi wa Jamii au kufungua kesi mahakamani, ambapo mahakama inaweza kuamuru baba kugharamia chakula, elimu, afya na makazi ya mtoto kulingana na kipato chake. Na…

7 November 2025, 4:34 pm

Migogoro ya familia inavyoathiri malezi ya watoto

jamii imetakiwa kuacha migogoro  na kuzingatia maslahi ya watoto katika familia. Na Anwary Shaban. Imeelezwa kuwa migogoro na ugomvi kati ya baba na mama ndani ya familia ni miongoni mwa vichocheo vinavyochangia katika malezi mabaya ya watoto. Kauli hiyo imetolewa…

26 September 2025, 3:07 pm

MTAKUWWA kutoa elimu juu ya madhara ya ajira kwa watoto

Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) Halmashauri ya Jiji la Dodoma umefanya kikao kwaajili ya kuandaa mpango wa kuelimisha jamii na kuhakikisha watoto wanaenda shule na kuepuka mazingira hatarishi ya ajira zisizo rasmi. Na…

29 August 2025, 3:47 pm

Dodoma yatumia wiki ya ustawi kutoa elimu malezi ya mtoto

watatumia maadhimisho hayo kutembelea vituo vya awali na vya kulelea watoto kwa ajili ya kutoa elimu ya makuzi. Na lilian Leopold.Wiki ya Ustawi wa Jamii imeanza kuadhimishwa rasmi hapa nchini, huku Jiji la Dodoma likitumia fursa hiyo kutoa elimu ya…

25 August 2025, 1:42 pm

Madeni yaliyopitiliza yaathiri malezi ya watoto

Mbali na hayo ASP Christer Kayombo amesema kuwa madeni yaliyopitiliza yanaweza kusababisha Mzazi kujiingiza katika biashara zisizofaa na kuathiri mwenendo mzima wa maisha ya mtoto. Na Farashuu Abdallah.Imeelezwa kuwa madeni yaliyopitiliza kwa Wazazi ni chanzo cha kuathiri ukuaji wa Mtoto…

16 April 2025, 6:05 pm

Marufuku kuchapisha picha za watoto mitandaoni

Taswira ya habari imepita mtaani kufahamu watachukua tahadhari gani juu ya sheria hiyo. Na Lilian Leopord.Katika zama za sasa ambapo mitandao ya kijamii inachukua nafasi kubwa katika maisha ya kila siku, wazazi wanakabiliwa na changamoto nyingi kuhusu jinsi ya kushughulikia…