Teknolojia
09/03/2026, 20:56
Wanawake watakiwa kuto muacha nyuma mtoto wa kiume kimalezi
Kila mwaka mwezi Machi huadhimishwa kama mwezi wa wanawake, ambapo wanawake hupata nafasi ya kutafakari mafanikio yao pamoja na changamoto wanazokutana nazo katika nyanja za kiimani, kiuchumi na kisiasa. Na Steven Noel.Mbunge wa Jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, Nathan Malima,…
26/01/2026, 17:11
Serikali wilayani Mpwapwa yaingilia kati sakata la mtoto kupotea
Pamoja serikali kujitahidi kutoa Elimu kupitia vyombo mbalimbali lakin Bado wilaya ya Mpwapwa inakabiliwa na changamoto za wazazi au walezi kuwatoa watoto wao Kwenda mikoa ya mbali Kwa kazi za ndani au kuchunga mifugo. Na Steven Noel. Hatimae serikali wilaya…
12/12/2025, 15:27
Serikali yajidhatiti kuimarisha ustawi wa Jamii.
Makao ya Taifa ya Kikombo ni mfano wa Taasisi ya Serikali inayotekeleza majukumu hayo kwa weledi. Na Mariam Matundu. Serikali ya Awamu ya Sita, inaendelea kuweka kipaumbele katika ajenda ya ustawi na mifumo ya ulinzi wa mtoto, kuendeleza huduma za…
28/11/2025, 14:18
Wananchi watakiwa kuchangamkia fursa za serikali
Ni vyema wananchi wakachangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo fursa ya mikopo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Na Mariam Matundu.Wananchi wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa tarehe 27 Novemba na Naibu waziri…
27/11/2025, 15:20
Gwajima atoa wito kwa wazazi usalama wa watoto mtandaoni
Wadau wa maendeleo wanaotekeleza afua za usalama wa watoto mtandaoni wameahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali ili kuhakikisha watoto wanalindwa dhidi ya aina zote za ukatili, hususan ukatili wa mtandaoni. Na Mariam Matundu.Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake…
24/11/2025, 15:37
‘Wazazi, walezi wana jukumu kubwa malezi ya watoto’
Wazazi wasiozungumza na watoto wao au kuwanyima nafasi ya kueleza mawazo na hisia, huwafanya watoto kushindwa kueleza matatizo yao. Na Joseph Julius.Wazazi wanatajwa kuwa na jukumu kubwa katika malezi ya watoto, lakini tabia zisizo sahihi zinaweza kuathiri saikolojia ya mtoto…
19/11/2025, 13:55
Baba ruksa kumwona mtoto hata kama hatoi matunzo
Wakili Jacquiline amesisitiza endapo baba anakataa au anashindwa kutoa matunzo, mama anaweza kufika ofisi za Ustawi wa Jamii au kufungua kesi mahakamani, ambapo mahakama inaweza kuamuru baba kugharamia chakula, elimu, afya na makazi ya mtoto kulingana na kipato chake. Na…
07/11/2025, 16:34
Migogoro ya familia inavyoathiri malezi ya watoto
jamii imetakiwa kuacha migogoro na kuzingatia maslahi ya watoto katika familia. Na Anwary Shaban. Imeelezwa kuwa migogoro na ugomvi kati ya baba na mama ndani ya familia ni miongoni mwa vichocheo vinavyochangia katika malezi mabaya ya watoto. Kauli hiyo imetolewa…
26/09/2025, 15:07
MTAKUWWA kutoa elimu juu ya madhara ya ajira kwa watoto
Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA) Halmashauri ya Jiji la Dodoma umefanya kikao kwaajili ya kuandaa mpango wa kuelimisha jamii na kuhakikisha watoto wanaenda shule na kuepuka mazingira hatarishi ya ajira zisizo rasmi. Na…
01/09/2025, 14:20