Radio Tadio

TB

22 March 2023, 3:46 pm

Serikali yadhamiria kudhibiti na kutokomeza kifua kikuu

Immelezwa kuwa watu wenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa wa kifua kikuu(TB)  ni pamoja na wale wanaoishi katika makazi duni, Watoto, Wavuvi na  wanafunzi wanaoishi bweni. Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na wadau katika sekta zote ili kudhibiti na kutokomeza ugonjwa…