TASAC
20 October 2025, 3:46 pm
Makosa ya maadili, utoro na wizi yatawala rufaa 108 za watumishi wa umma
Picha ni Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Utumishi wa Umma John Mbisso, katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini…
26 September 2025, 3:28 pm
Tume ya utumishi wa umma kutoa maamuzi ya rufaa 108 jijini Dodoma
Miongoni mwa sababu zinazojitokeza mara kwa mara katika rufaa hizo ni pamoja na Kukiuka maadili ya utumishi wa umma,Kughushi vyeti au kutoa taarifa za uongo,Uzembe kazini,Wizi wa mali za umma Na Seleman Kodima.Tume ya Utumishi wa Umma inatarajia kutoa maamuzi…
20 June 2024, 1:01 pm
Watumishi wa Umma wahimizwa matumizi ya TEHAMA
Maonesho haya yanalenga kutoa huduma kwa wananchi moja kwa moja na kwa urahisi zaidi na kupitia maonesho haya serikali inapata maoni kutoka kwa wadau na wananchi kwa urahisi zaidi. Na Mariam Kasawa.Watumishi wa umma wametakiwa kuwa wafuatiliaji wa teknolojia mbalimbali…
13 March 2023, 8:52 am
TASAC yakanusha madai ya rushwa kwa CMA
Suala hilo ni miongoni malalamiko matatu yaliyoripotiwa kupitia mitandao ya kijamii ambapo pia kupitia mitandao hiyo vijana hao wamelalamikia kuvunjwa kwa mikataba bila ya kufuata utaratibu na kufanya kazi bila ya bima ya afya. Na Mindi Joseph. SHIRIKA la Wakala…
8 March 2023, 11:19 am
TASAC labainisha kutekeleza miongozo inayotolewa na serikali
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa linatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA). Na Mindi Joseph. Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limebainisha kuwa inatekeleza miongozo inayotolewa na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) katika…