
Radio Tadio
21 May 2023, 1:02 pm
Ni muhimu sana kuvaa nguo vizuri kulingana na mazingira yako, mimi navaa tofauti sana nikiwa Uingereza kuliko hapa, Tanzania hasa Pangani kuna waumini wengi wa dini ya Kiislamu, sio vizuri kuvaa kaptura ni muhimu sana kuwa na heshima kwa tamaduni…