Radio Tadio

Tafiti

16 Septemba 2025, 3:08 um

Ajifanya mwanamke ili kumfanyia mtihani mpenzi wake

Je, nini kilipelekea kijana huyu ajiingize katika matatizo ili tu kumsaidia mpenzi wake? Fuatana nasi katika vjimambo. Leo katika vijimambo tupo nchini Uganda ambapo tunakutana na kisa cha kijana mmoja kujifanya mwanamke ili amfanyie mpenzi wake mtihani.

6 Juni 2023, 6:46 um

Jamii yashauriwa kujenga tabia ya kufanya tafiti mbalimbali

Mradi wa ALiVE-Tanzania una lengo la kufanya tafiti na  kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana Nchini. Na Fred Cheti. Jamii imeshauriwa kujenga desturiĀ  ya kufanya tafiti mbalimbali katika maeneo yao na kubaini changamoto zilizopo ili kupunguza baadhi ya…