Smaujata
10 Febuari 2026, 4:28 um
Kamati ya siasa Chamwino yaridhishwa ujenzi wa mradi wa maji
Kukamilika kwa Mradi huo utaongeza upatikanaji wa Majisafi kutoka asilimia 91 ya sasa hadi asilimia 100 na utaenda kuhudumia wananchi zaidi ya 59,085 katika eneo la kihuduma la DUWASA katika Mji wa Chamwino, ambapo Kata 4 zenye jumla ya Vijiji…
6 Disemba 2024, 11:26 mu
Mhandisi mradi wa Tactic atakiwa kukamilisha kazi kwa wakati
Maandalizi ya utekelezaji wa mradi huu yamegawanywa katika makundi matatu kwa kuzingatia awamu za mgao wa fedha kutoka kwa mfadhili (Benki ya Dunia). Na Annuary Shaban.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaj Jabir Shekimweli amemtaka mhandishi wa mradi wa tactic kuhakiksha…
30 Julai 2024, 7:24 um
Mradi mkubwa wa mapumziko unaotarajiwa kujengwa katika mtaa wa Swaswa
Yussuph Hassani amezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo juu ya mradi wa eneo hilo. Na Yussuph Hassan. Tupo mtaa wa Swaswa leo mwenyekiti wa mtaa huo Bw. Charles Nyuma anazungungumzia mradi wa mapumziko ambao unatarajiwa kujengwa katika eneo hilo.
16 Machi 2023, 4:51 um
Jamii yatakiwa kuwa na muamko wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia
Nini kifanye ili kutoa mwamko kwa jamii hasa kuanzia ngazi za familia na mitaa katika kuripoti matukio ya ukatili. Na Fred Cheti Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kushiriki katika kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia yanayotokea katika maeneo yao. Hayo…