SIDO
9 June 2026, 18:14
Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya dawa
Benedict Rashi kutoka mamlaka ya dawa na vifaa tiba TMD ameshauri kutotumia dawa holela bila kupima au kutumia dawa za mtu mwingine ambazo ameacha kuzitumia kwani zinaweza kuwa zimepoteza ubora na kuzingatia maelezo yaliyowekwa kwenye dawa kufahamu zimetengenezwa lini na…
2 April 2025, 17:43
Wakazi wa Mondela waiomba serikali kuboresha upatikanaji wa dawa
Itakumbukwa kuwa Machi 25 mwaka huu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa akiwa mkoani Kilimanjaro amepiga marufuku tabia ya waganga katika hospitali za serikali kuwaandikia wagonjwa dawa na kuwaelekeza kununua dawa hizo katika maduka ya…
25 April 2023, 12:43
Wahitimu wa mafunzo SIDO watakiwa kuzalisha bidhaa bora
Awali kulitanguliwa na mafunzo y utengenezaji Sabuni na Batiki kama anavyobainisha Mkufunzi wa mafunzo hayo. Na Alfred Bulahya. Zaidi ya wahitimu 350 wa mafunzo ya usindikaji wa Vyakula na matunda wamehitimu mafunzo hayo yanayotolewa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo…