Radio Tadio

Sheria Mahakama

20 January 2023, 3:14 am

Uzinduzi wa Jengo la Mahakama Katavi

KATAVI Watumishi wa Mahakama nchini wametakiwa kutenda haki na kuepuka vitendo vya rushwa ili kuwahudumia wananchi kwa haki,usawa na kwa wakati. Hayo yamesemwa na Jaji Kiongozi Mahakama Kuu Tanzania Mustapher Mohamed Siyani wakati akizungumza katika uzinduzi wa mahakama za hakimu…