Radio Tadio

Narco

1 May 2023, 3:45 pm

Serikali kuboresha Ranchi ili kupanua soko nje ya nchi

Akisoma taarifa meneja wa Ranchi ya Kongwa bwana Elisa Binamungu amesema shilingi bilioni 4.65 zilitengwa Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kuboresha ranchi hiyo ikiwa ni pamoja na kutengeneza Barabara, kuondoa vichaka hekari 8000 kwaajili ya kustawisha mifugo. NA Bernadetha Mwakilabi.…