Radio Tadio

Mzogole

25 April 2023, 1:36 pm

Mzogole waishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa daraja

Ujenzi wa daraja hilo unafuatia baada ya  kujengewa shule kubwa ya Sekondari iliyopo makao makuu ya kata, adha zilizowasumbua wananchi hao tangu kupatikana kwa uhuru wa nchi. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Mzogole kata ya Mpinga wilayani Bahi…