![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
28 March 2023, 3:58 pm
Ili kukuza utalii katika Mkoa wa Dodoma Taasisi mbalimbali, wadau pamoja na wananchi kutembelea katika mapori hayo ya akiba. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wananchi,Taasisi pamoja wadau mbalimbali kushiriki kutembelea katika vivutio vilivyopo…