Mkungunero
12 July 2025, 9:38 pm
RC Dodoma kuongoza kongamano la amani kuelekea uchaguzi mkuu
Kongamano hilo ni la pili kufanyika baada ya la kwanza kufanyika Jijini Dar es salaam. Na Seleman Kodima.MKUU wa Mkoa wa Dodoma,Rosemarry Senyamule,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Kongamano la amani la Mkoa la kujadili suala la amani kuelekea uchaguzi mkuu…
5 March 2025, 12:40 pm
Wananchi Kiteto wafanya maombi ya kuomba mvua
Hii hapa taarifa yake kitana hamisi kutoka Wilayani Kiteto. Na Kitana Hamis.Wananchi Wilayani Kiteto Mkoani Manyara Wamefanya Dua ya kuomba Mvua baada ya kuona Hali ya ukame inazidi huku mazao yakikauka siku hadi siku. Kitana Hamis ametuandalia taarifa kamili huu…
13 September 2024, 7:30 pm
Nguvu ya maombi yamtungua bundi wa ajabu kanisani
Wakazi wa mtaa wa Maili Mbili CCM wameonesha mshangao baada ya kuona bundi huyo ameanguka kwenye eneo la kanisa akiwa na vifaa mabilimbali vya kiuchawi. Na Thadei Tesha. Wakazi wa Mtaa wa Maili MbiliĀ CCM jijini Dodoma wameshudia tukio la…
28 March 2023, 3:58 pm
Wakazi wa Dodoma wahamasishwa kutembelea vivutio vya utalii
Ili kukuza utalii katika Mkoa wa Dodoma Taasisi mbalimbali, wadau pamoja na wananchi kutembelea katika mapori hayo ya akiba. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amewataka wananchi,Taasisi pamoja wadau mbalimbali kushiriki kutembelea katika vivutio vilivyopo…