Radio Tadio

Mihogo

12 May 2023, 14:24 pm

Wakulima wa Mihogo waipongeza TARI Naliendele

Na Mussa Mtepa. Wakulima wa zao la mihogo kutoka kijiji cha Mkunwa Halmashauri ya Wilaya Mtwara Mkoani Mtwara wameshukuru kituo cha utafiti na kilimo cha TARI Naliendele kwa kitendo cha kuwashirikisha kwenye utafiti wa zao hilo kwani wameweza kutambua umuhimu…