
Radio Tadio
10 February 2025, 5:49 pm
Idadi kubwa ya wakazi wa eneo hili ni wafugaji wanakaa maeneo ya pembezoni ambapo ni vigumu kupata taarifa. Na Kitana Hamis.Wananchi wilayani Kiteto Mkoani Manyara waiomba serikali kuwajengea nyumba salama waathiriwa wa vitendo vya ukatili. Wakizungumza na Dodoma Tv Wananchi…
19 April 2023, 5:42 pm
Hii inafuati msimu wa mvua za mazika ambazo zimekoma hivi karibuni Mkoani hapa hivyo watu wengi wenye maeneo wameotesha mbogamboga mbalimbali na kuzipa kisogo mbogamboga za sokoni. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa mbogamboga wamelalamikia kudorola kwa soko la mboga hizo…